Saida Swaleh
Saida Swaleh alijiunga na KTN Aprili 2011. Saida ni mahafala wa shahada ya Mawasiliano na Uandishi Habari, chuo kikuu cha Nairobi . Uanahabari ni kazi aliyoisomea kwa hima na sasa amefanikiwa kuwa mwanabari anayebobea haswa katika uandaaji makala.
Saida amepata tuzo nyingi tangu kujiunga na KTN. Anatambulika katika kuangazia maswala ya afya, hasa ya akina mama na watoto.